Rais
wa Marekani Barack Obama ameendelea kuonesha mapenzi yake kwenye mchezo
wa kikapu baada ya taarifa kutoka kwa kaimu msemaji wa ikulu ya Marekani
(White House) Josh Earnest
kudai kuwa mara baada ya kumaliza muhula wake wa mwisho kama rais wa
taifa hilo kubwa duniani mwaka huu,huenda Rais Obama atawekeza kwenye
mchezo huo wenye mashabiki wengi nchini humo,kwa kununua moja ya klabu
zinashiriki ligi kuu ya kikapu ya Marekani NBA.
No comments:
Post a Comment