Sunday, 26 June 2016

VIDEO: UNA FURSA YA KUANGALIA MAGOLI YOTE YA SERENGETI BOYS VS SEYCHELLES

IMG-20160626-WA0015



Timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17 ‘Serengeti Boys’ imepata ushindi wa magoli 3-0 dhidi ya Seychelles katika mchezo wa kuwania kushiriki fainali za mataifa ya Afrika kwa vijana.
Nickson Kabage, Ibrahim Abdallah na Ally Hussein ndiyo walifunga magoli ya Serengeti Boys kwenye mchezo huo.

No comments:

Post a Comment