Timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17 ‘Serengeti Boys’ imepata ushindi wa magoli 3-0 dhidi ya Seychelles katika mchezo wa kuwania kushiriki fainali za mataifa ya Afrika kwa vijana.
Nickson Kabage, Ibrahim Abdallah na Ally Hussein ndiyo walifunga magoli ya Serengeti Boys kwenye mchezo huo.
No comments:
Post a Comment