Monday, 27 June 2016

YANGA YAIOMBA MSAMAHA SIMBA KUELEKEA MECHI NA TP MAZEMBE.

Image result for yanga vs simba

Kuelekea mchezo wao dhidi TP MAZEMBE kutoka Jamhuri ya watu wa Congo,Uongozi wa Yanga chini ya afisa habari na mawasiliano Jerry Muro wamewapigia goti timu na mashabiki wa Simba na kuiomba support yao katika mchezo huo.na pia waliwaalika viongozi wa matawi wa simba ili kufikisha ujumbe huo.
Pata uhondo huo.



No comments:

Post a Comment