Akon atapewa tuzo hiyo kutokana na juhudi zake za kuleta maendeleo kupitia mradi wake wa kusambaza umeme wa Solar kwa waafrika Akon Lighting Africa, uliosaidia watu zaidi ya Million 600 kwenye nchi zaidi ya 11 za Afrika hadi sasa.
Tuzo hiyo ambayo imeanza kutolewa Mwaka jana kwa watu ambao wanamchango mkubwa kwenye kuleta maendeleo ya waafrika, mwaka jana alipewa mwanamitindo na Miss Tanzania, 2001, Happiness Millen Magese.
No comments:
Post a Comment