R&B hit maker Chris Brown ameshinda
kesi ya malezi ya mtoto wake Royality dhidi ya mama wa mtoto huyo Nia
Guzman ambae kupitia mwanasheria wake alifungua mashtaka dhidi ya Brezy
akipinga Mwanamuziki huyo kumlea binti yao Royality kwa madai kuwa Chris
Brown amekua akitumia madawa ya kulevya (Bangi) na kujihusisha vurugu
mara kwa mara huku akidai kuongezewa malipo ya malezi ya binti yake
(child support allowance) kutoka $2,500 hadi $16,000 kwa mwezi.
Thursday, 26 May 2016
Chris Brown ashinda kesi dhidi ya Mama watoto wake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment