Friday, 22 January 2016

Rais Magufuli amteua Kikwete kuwa mkuu wa chuo kikuu cha Dar es salaam, UDSM


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam, UDSM.
7b13f92f28c94ffeb9876f6fe2410b82

No comments:

Post a Comment