Monday, 18 January 2016
OZIL ALIPOZI HOME AKIFUATILIA GAME KATI YA ARSENAL NA STOKE CITY
kiungo wa Arsenal, Mesut Ozil, akiwa nyumbani kwake akifuatilia mchezo kati ya Stoke City v Arsenal siku ya Jumapili. Ozil hakuweza kucheza kutokana na jeraha la mguu. Pengine kutokana na baridi kali iliyokuwepo kwenye uwanja wa Brittania, aliamua kukaa nyumbani akifuatilia mchezo huo akiwa na mbwa wake- Balboa. Ozil ametweet picha hii na kusema ana matumaini ya kurejea uwanjani katika mechi dhidi ya Chelsea, Jumapili ijayo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment