Shirika linalohusika na chakula na madawa nchini Marekani linasema kuwa 'wanaume hao' wataruhusiwa kutoa damu ikiwa hawajafanya mapenzi kwa muda wa mwaka mmoja !
Baadhi ya watatezi wa haki za wapenzi ya jinsia moja wanasema kuwa sheria hizo mpya bado ni za kibaguzi.
Wanasema kuwa njia za kisasa za kipima virusi vya ukimwi zinamwezesha mtu kupimwa na kutoa damu kwa muda mfupi.
No comments:
Post a Comment