Saturday, 26 December 2015

MATOKEO LIGI KUU ENGLAND NIMEKUWEKEA HAPA ANGALIA.......

Image result for premier league imageStoke 2 Man United 0     
Aston Villa 1 West Ham 1         
Bournemouth 0 Crystal Palace 0                  
Chelsea 2 Watford 2                

Liverpool 1 Leicester 0             
Man City 4 Sunderland 1          
Swansea 1 West Brom 0          
Tottenham 3 Norwich 0            
2030 Newcastle v Everton              
2245 Southampton v Arsenal 

 Wakati Man City, Tottenham na Liverpool zikishinda Mechi zao za Nyumbani hii Leo, Chelsea, wakiwa kwao Stamford Bridge, walianza himaya ya Meneja mpya Guus Hiddink kwa Sare.
Chelsea walitangulia kufunga katika Dakika ya 32 kwa Bao la Diego Costa na Watford kusawazisha kwa Penati iliyotolewa baada ya Nemanja Matic kuushika Mpira na Penati hiyo kufungwa na Troy Deeney katika Dakika ya 42.
Watford walikwemba mbele 2-1 kwa Bao la Odion Ighalo la Dakika ya 56 na Diego Costa kufunga Bao lake la Pili Dakika ya 65 na kuipa Chelsea Sare ya 2-2.
Mwishoni Oscar alikosa Penati ambayo ingeweza kuwapa ushindi Chelsea katika Mechi ya kwanza ya Meneja wao mpya Guus Hiddink.
Huko Etihad, Man City ilicharuka na kuibonda Sunderland Bao 4-1 kwa Bao za Raheem Sterling, Yaya Toure, Wilfried Bony na Kevin De Bruyne huku Bao la Sunderland likifungwa na Fabio Borini.
Ushindi huu bado umewaweka City Nafasi ya 3 wakiwa Pointi 1 nyuma ya Arsenal na Pointi 3 nyuma ya Vinara Leicester City ambao Leo wamechapwa 1-0 na Liverpool huko Anfield kwa Bao la Christian Benteke.
Huko White Hart Lane, Tottenham waliichapa Norwich City Bao 3-0 kwa Bao za Harry Kane, Bao 2 na moja ni Penati, na la 3 kufungwa na Tom Carroll.

Jumatatu Desemba 28

1800 Crystal Palace v Swansea                
1800 Everton v Stoke            
1800 Norwich v Aston Villa             
1800 Watford v Tottenham             
1800 West Brom v Newcastle         
2030 Arsenal v Bournemouth          
2030 Man United v Chelsea             
2030 West Ham v Southampton  
             
Jumanne Desemba 29

2245 Leicester v Man City 
    
Jumatano Desemba 30

2245 Sunderland v Liverpool
          
Jumamosi Januari 2

1545 West Ham v Liverpool            
1800 Arsenal v Newcastle               
1800 Leicester v Bournemouth                 
1800 Man United v Swansea           
1800 Norwich v Southampton         
1800 Sunderland v Aston Villa                  
1800 West Brom v Stoke                 
2030 Watford v Man City  
               
Jumapili Januari 3

1630 Crystal Palace v Chelsea                  
1900 Everton v Tottenham  







  

No comments:

Post a Comment