Saturday, 26 December 2015

NIMEKUWEKEA MATOKEO YA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA SIKU YA LEO



vpl


Mwadui FC 1-1 Simba 
Ndanda FC 1 – 3 JKT Ruvu 
Coastal Union 1 – 3 Stand United 
Maji Maji FC 0 – 2 Prisons
Mtibwa Sugar 3-0 Mgambo JKT

 YANGA SC imetanua mbawa kileleni mwa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara kufuatia ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mbeya City Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Ushindi huo unaifanya Yanga SC ifikishe pointi 33, baada ya kucheza mechi 13, wakati Azam FC iliyocheza mechi 12, ina pointi 29.
Mrundi Amissi Tambwe aliifungia Yanga SC mabao mawili mfululizo, la kwanza dakika la 37 akimalizia pasi ya winga Simon Msuva na la pili dakika ya 65 akimalizia krosi ya Mwinyi Hajji Mngwali, kabla ya kumpasia kwa kichwa Mzimbabwe Thabani Kamusoko kufunga la tatu dakika ya 
66.

No comments:

Post a Comment