Thursday, 24 December 2015

AFANDE SELE AZUNGUMZIA HIKI KUHUSU WASANII WANAOSHUTI VIDEO AFRIKA KUSINI



 Image result for madee
 
mkongwe wa muziki, Afande Sele december 23 alipohojiwa na mtandao maarufu na kusema ‘Wanaoenda kushoot South wana biashara za siri’ kauli hiyo imeonesha kumkera Madee ambaye alimtaka aombe radhi kwa wasanii wenzake.  

Image result for madee na afande sele






Unajua yale ni matusi kwenye muziki kwenye Bongo Fleva halafu watu kama Afande Sele ndio waanzilishi wa huu muziki sasa muziki unapoelekea sasa ni kwenye level ya kimataifa muziki unakua kwahyo vitu alivyokuwa anafanya yeye mwanzo..kwasasa anaviona vipya  anaona kama maajabu watu kumiliki hela nyingi…astaajabu na kuhisi labda wasanii wanafanya ishu nyingi‘ – Madee

No comments:

Post a Comment