Mei 3 2016 klabu ya Manchester United ya Uingereza ilifanya na kutoa tuzo zake za mwaka kwa wachezaji ambao wamefanya vizuri katika msimu wa 2015/2016, Man United wametoa tuzo hizo kwa wachezaji kama Marcus Rashford ambaye ameshinda tuzo ya mchezaji bora mwenye umri chini ya miaka 18 na golikipa wao David de Gea ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka.
Mshambuliaji wao kutoka Ufaransa waliomsajili akitokea Monaco Anthony Martial yeye alifanikiwa kushinda tuzo ya mfungaji wa goli bora la msimu, goli ambalo alilifunga katika mchezo dhidi ya Liverpool. Unaweza anagalia pichaz na list ya washindi wote hapo chini.

Smalling akiwa na tuzo yake

Smalling na mpenzi wake



Kutoka kushoto ni Wayne Rooney na Smalling

David de Gea na mpenzi wake kwenye Red Carpet

Wayne Rooney na mkewe

Juan Mata na mpenzi wake katika Red Carpet

Marcus Rashford akiwa na tuzo yake katika picha ya pamoja na kocha wa Academy ya Man United Nicky Butt

List ya washindi wa tuzo za Man United 2015/2016

David de Gea na tuzo yake ya mchezaji bora wa mwaka
Unaweza tazama hapa goli lililompa tuzo Anthony Martial\\
No comments:
Post a Comment