Tuesday 24 May 2016

HIZI NINAFASI ZA KUJIUNGA NA CHUO CHA UALIMU TANGA NAFASI ZIPO




CHUO CHA UALIMU TANGA KINAWATANGAZIA MAFASI ZA MASOMO MWEZI MEI YAANI MWEZI WA TANO 2016 KWA KOZI ZIFUATAZO:
( A) Stashahada ya kozi ya ualimu wa shule za sekondari .                 ADA KWA MWAKA 850,000/=
       ( Ordinary diploma in secondary school education )
              MUDA – MIAKA MITATU ( 3 )
( B) Stashahada ya kozi ya ualimu wa shule za msingi.                         ADA KWA MWAKA 850,000/=
        ( Ordinary diploma in primary school education )
              MUDA – MIAKA MITATU ( 3 )
( C ) Stashahada ya kozi ya ualimu wa elimu ya awali.                            ADA KWA MWAKA 850,000/=
        ( Ordinary diploma in Early child care and education )                        
               MUDA – MIAKA MITATU ( 3 )
( D ) Kujiendeleza stashahada kwa waalimu Daraja la III Waliopo kazini.
( E ) Basic technician certificate in social work – mwaka mmoja
SIFA ZA KUJIUNGA NA CHUO
(1 ) Uwe umemaliza kidato cha IV au kufaulu kiwango cha division III au zaidi.
( 2 ) Uwe umemaliza kidato cha IV au zaidi na kupata alama D zisizopungua nne ( 4 ).
( 3 ) Uwe umemaliza kidato cha VI na kuwa angalau na “principal 1 na subsidiary 1”.
AU Uwe umemaliza kidato cha IV na umesoma kozi ya mwaka mmoja yaani ( basic
Technician certificate  NTA-4 ) ya fani yeyote ya masomo ya sayansi ya jamii kama vile-
Sheria, ustawi wa jamii, uandishi wa habari. Kozi zote zinaanza rasmi mwezi Mei, 2016
Utaratibu wa kuomba unafanyika kupitia mfumo wa NACTE wa kudahili wanafunzi ( central admisission system –CAS ) ama kutuma maombi chuoni.

Mawasiliano zaidi piga . 0677- 025521, 0677- 025522, 0754- 233304, E- mail:tangaelite@yahoo.com, mkuu wa chuo , TETCO S.L.P. 5555. TANGA TANZANIA .Kwa wewe ambaye upo Iringa fomu zinapatikana  tupo msindo  jirani na uwanja wa samola mawasiliano zaidi ni 0764304104,  E- mail benadikikoti50@gmail.com

VITU MHIMU VYA KUWA NAVYO AU KUAMBATANISHA KWENYE MAOMBI NI .

- Passport size 2
- vyeti vyako
- cheti cha kuzaliwa
cheti cha matibabu kutoka katika hospitali ya serikali
- barua kutoka kwa mwajiri kama upo kazini

No comments:

Post a Comment