Wednesday, 2 December 2015

MAJOGOO WA LANDANI LIVERPOOL WAENDELEZA KICHAPO SOUTHAMPTON YAWAKUTA

Image result for SIGN CAPITAL ONE
  southampton leo walijitosa uwanjani kucheza na liverpool chenye michuano ya capital one wakijikuta wakipata kichapo cha goli 6 - 1 ambapo magoli kwa upande wa liverpool ya mefungwa na 

Daniel Sturridge  dakika ya 26 na 29 ( 2 )
Divock Orig       dakika ya 45, 69 na 86 ( 3 )
Jordon Ibe         dakika ya  73 ( 1 )

Na goli la kufutia machozi kwa upande wa southampton lilifungwa na Sadio mane dakika ya kwanza katika kipindi cha nzanza.




No comments:

Post a Comment