Baada ya tuzo kutolewa kwa wachezaji, vilabu pamoja na makocha
waliofanya vizuri kwenye msimu wa ligi kuu ya soka Tanzania bara kutoka,
tayari bodi ya ligi imetoa ratiba kwa ajili ya msimu ujao wa ligi
(2016/17)
Ratiba hiyo inaonesha ligi kuu Tanznia bara itaanza kuchezwa August
20, 2016, kutaka kujua timu yako itaanza na wapinzani gani, angalia
ratiba hapa chini.
No comments:
Post a Comment