Thursday, 14 July 2016

HIVI NDIVYO MEDEAMA WALIVYOWASILI JIJINI DAR




Timu ya Medeama FC kutoka Ghana imewasili leo mchana jijini Dar es saalam tayari kabisa kwa mchezo wake dhidi ya Yanga SC katika kombe la shirikisho.Mchezo huo unatarajiwa kupigwa jumamosi ya wiki hii pale uwanja wa taifa.
nimekuandalia video inayoonyesha ripoti kamaili ya yaliyojiri.


No comments:

Post a Comment