Watu wanne wamefariki dunia na
wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya basi la abiria la kampuni ya Luwinzo lililokuwa
linatoka Njombe kuelekea jijini Dar Es Salaam kuligonga lori kwa nyuma.
Akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo
Kamanda wa polisi Mkoani Iringa Peter Kakamba amesema kuwa imetokea katika maeneo
ya Kinegembasi Kata ya Mbalamaziwa wilayani Mufindi katika mkoa wa Iringa.
No comments:
Post a Comment