VIDEO: Waziri Nape alivyotangaza kulifuta gazeti la ‘MAWIO’
Leo Jan 17 2016 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na MichezoMh. Nape Nnauye alikutana na waandishi wa habari Dar na kutangaza maamuzi ya Serikali kulifuta gazeti la Mawio, stori kamili iko kwenye hii video.
No comments:
Post a Comment