Friday, 22 January 2016

Picha na video ya safari ya mwisho ya marehemu mume wa Celine Dion alivyoagwa Canada.. RIP


Majonzi mfululizo yameikuta familia ya staa mkubwa wa muziki duniani na mwenye heshima pamoja na ushindi wa Tuzo nyingi kubwa, kwanza ilikuwa msiba wa mume wake Rene Angelil ambaye aliugua ugonjwa wa kansa… siku chache baadaye akapata msiba mwingine wa kaka yake, Daniel Dion, na yeye tatizo lilikuwa hilohilo la kansa.
506155514-600x400
Ndugu jamaa na watu wa karibu wamekutana jana January 21 2016 katika kanisa la Notre-Dame Basilica lililopo nyumbani kwao Montreal, Canada kwa ajili ya shughuli za kuaga mwili wa mume wa mwanamuziki huyo.
Hizi hapa baadhi ya picha na video ya tukio hilo.
1de9b3fc-3d63-4cf7-8e19-3e60a85c8817  506155524-600x400 506155526-600x900
Video yenyewe hii hapa, Celine Dion na ndugu zake walivyokutana kuaga mwili safari ya mwisho ya Rene Angelil RIP Rene Angelil


No comments:

Post a Comment