Stori ilikamata sana headlines mwaka 2015, Nay wa Mitego na mzazi mwenzake Siwema kutoka Mwanza… mtoto wao ikawa stori kubwa, Nay
aliapa hatojibizana na madai yote ya mitandaoni kuhusu mzazi mwenzake
huyo japo watu wengi walimlaumu kwa maamuzi yake kumchukua mtoto kwa
mama yake na kuanza kuishi nae akiwa mchanga sana.
Nay wa Mitego kasimulia kila kitu kwenye show ya ‘Leo Tena‘ ya Clouds FM..
Ukiplay hii sauti utasikia kila kitu, kuanzia simu za mashuhuda wa
Mwanza na matukio ya mpenzi wake ikiwemo uhusiano na wanaume wengine, safari ya Airport Dar- Mwanza kufata mtoto wake, utata wa DNA na uhusiano wake na Shamsa na jinsi walivyoachana.
No comments:
Post a Comment