Magufuli alimpa pole Askofu Pengo na kumuombea afya njema ili aweze kuendelea na shughuli zake za kutoa huduma za kiroho kwa wananchi. Mkurugenzi wa Taasisi hiyo ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Profesa Mohamed Janabi, alisema hali ya Kardinali Pengo inaendelea kuimarika, ikilinganishwa na alipofikishwa katika taasisi hiyo
Saturday, 2 January 2016
Kardinali Pengo alazwa Muhimbili
Magufuli alimpa pole Askofu Pengo na kumuombea afya njema ili aweze kuendelea na shughuli zake za kutoa huduma za kiroho kwa wananchi. Mkurugenzi wa Taasisi hiyo ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Profesa Mohamed Janabi, alisema hali ya Kardinali Pengo inaendelea kuimarika, ikilinganishwa na alipofikishwa katika taasisi hiyo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment