Monday, 18 January 2016

EMIRATES FA CUP: LEO MARUDIO RAUNDI YA 3,


Image result for FA CUP
WAKATI DROO na Ratiba ya Raundi ya 4 ya EMIRATES FA CUP imeshafanyika, Leo Usiku na Jumatano zipo Mechi za Marudiano za Raundi ya 3 kwa Timu zilizotoka Sare.
Miongoni mwa hizo za Marudio ni ili ambayo itachezwa Villa Park ambako Aston Villa watarudiana na Timu ya Ligi 2, Wycombe, ambayo walitoka Sare 1-1 hapo Januari 9.
Jumatano, huko Anfield, Liverpool wanarudiana na Timu ya Ligi 2, Exeter, baada ya kutoka nayo 2-2 huko Exter City hapo Hanuari 8.
Siku hiyo hiyo, huko King Power Stadium, Leicester City, Timu ambayo ipo kileleni mwa Ligi Kuu England, itarudiana na Tottenham baada ya kutoka 2-2 huko White Hart Lane.
Hii itakuwa mara ya 3 kwa Timu hizi kukutana baada ya Juzi pia Leicester kuichapa Tottenham 1-0 huko White Hart Lane kwenye Ligi.


Dondoo muhimu:
-FA CUP sasa inaitwa EMIRATES FA CUP kutokana na Udhamini wa Shirika la Ndege la Falme za Nchi za Kiarabu, Emirates.
-Emirates sasa wanadhamini FA CUP kwa Miaka Mitatu.

EMIRATES FA CUP
Marudiano-Raundi ya 3
**Mechi zote kuanza Saa 4 Dakika 45 Usiku isipokuwa inapotajwa
Jumanne Januari 19
Aston Villa v Wycombe
Bolton v Eastleigh
Bradford v Bury
Bristol City v West Brom
MK Dons v Northampton
Portsmouth v Ipswich
Yeovil v Carlisle
2300 Reading v Huddersfield
Jumatano Januari 20
Leicester v Tottenham
2300 Liverpool v Exeter (2000 GMT)

EMIRATES FA CUP
Raundi ya 4
Ijumaa Januari 29
2255 Derby v Man United 
Jumamosi Juni 30
1545 Colchester v Tottenham or Leicester                 
[Zote kuanza Saa 12 Jioni]
Arsenal v Burnley             
Crystal Palace v Stoke                
Nottm Forest v Watford              
Oxford Utd v Blackburn au Newport                
Shrewsbury v Sheff Wed            
Ipswich au Portsmouth v Bournemouth           
Wycombe au Aston Villa v Man City                
Huddersfield au Reading v Walsall                  
Eastleigh au Bolton v Leeds                  
West Brom au Bristol City v Peterborough                 
Bury au Bradford v Hull              
2030 Exeter au Liverpool v West Ham   
Sunday 31st January 2016
1630 Carlisle au Yeovil v Everton          
1900 Northampton au MK Dons v Chelsea       
THE EMIRATES FA CUP 2015/16
TAREHE MUHIMU
Raundi ya 3
Ijumaa 9 Januari 2016
Raundi ya 4
Jumamosi 30 Januari 2016
Raundi ya 5
Jumamosi 20 Februari 2016
Raundi ya 6-Robo Fainali
Jumamosi 12 Machi 2016
Nusu Fainali
Jumamosi 23 Aprili 2016 & Jumapili 24 Aprili 2016
Fainali
Jumamosi 21 Mei 2016

No comments:

Post a Comment