Monday, 4 January 2016

BREAKING NEWS: BENITEZ ATIMULIWA MADRID,

Image result for breaking news 
Safari ya Real Madrid na mocha Rafa Benitez imefikia ukingoni baada ya kutimuliwa leo.

Gwiji la timu hiyo, Zinedine Zidane amepewa jukumu la kukinoa kikosi cha Madrid na ndiyo anakuwa mocha mkuu.


Real Madrid imemtimua Benitez baada ya miezi sita tu  na ikiwa ni sikh mona tu baada ya safe ya mabao 2-2 dhidi ya  Valencia inayonolewa na Kocha Gary Neville ambaye ni nyota wa zamani wa Man United.
Image result for benitez

No comments:

Post a Comment