Wednesday, 30 December 2015

WAHAMIAJI HARAMU 26 WAKAMATWA IRINGA



Image result for PETER KAKAMBA
JESHI la Polisi mkoa Mkoa wa Iringa limewakamata wahamiaji haramu 26 kutoka Ethiopia huku mmoja kati yao akiwa amefariki kutokana na kudhoofu kwa afya yake.
 Kamanda wa Polisi mko wa Iringa kamishina msaidizi wa Polisi Mkoa wa Iringa (ACP) Peter Kakamba amesema hayo katika mahojiano maalum na na mtandao wa habarika TZ
 Aidha Kamanda Kakamba aliwataka wananchi wa Mkoa wa Iringa kuaga mwaka 2015 na kukatibisha mwaka 2016 pasipo kufanya vitendo vyovyote vitakavyo hatarisha amani na maisha yao.

No comments:

Post a Comment