Vijana hao kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo walishinda kombe la klabu bingwa Afrika mwezi uliopita.
Wataanza kampeni yao Osaka Jumapili dhidi ya mshindi wa mechi kati ya Sanfrecce Hiroshima na Auckland City FC ambayo itachezwa Alhamisi.
Mazembe walishangaza ulimwengu miaka mitano iliyopita walipofika fainali ya dimba hilo la dunia lakini wakashindwa na Inter Milan.
No comments:
Post a Comment