Friday, 10 June 2016

WACHEZAJI 10 WA MAN UNITED WATAKAOCHEZA EURO WAKIWA KWENYE MATAIFA TOFAUTI

Rooney-Martial


Wachezaji wa 10 wote wa Manchester United walichaguliwa na mameneja mataifa mbalimbali ya Ulaya kuwakilisha nchi zao katika michuano ya Ulaya inayoanza leo nchini Ufaransa.
Miongoni mwa mataifa 24 yaliyofuzu kushiriki Euro 2016, saba kati yao yatakuwa angalau na mchezaji kutoka Manchester United.
Isipokuwa Uingereza ambao watakuwa na wachezaji watatu na Ufaransa ambao watakuwa na wachezaji wawili, nchi nyingine tano zinawakilishwa na mchezaji mmoja mmoja kutoka Manchester United.
Kwa mujibu wa mtandao wa Sokka.com hii ndiyo ‘top ten’ ya wachezaji wa United watakaokuwa wakiyawakilisha mataifa tofauti nchini Ufaransa.
Kundi A – Ufaransa
Anthony Martial – Kiungo mshambuliaji

Morgan Schneiderlin – Kiungo mlinzi

Kundi B –England
Wayne Rooney – Kiungo, mshambuliaji

Chris Smalling – Mlinzi

 Marcus Rashford – Kiungo mshambuliaji

 Kundi C – Ireland ya KasikaziniPaddy McNair – Mlinzi

 Kundi C – UjerumaniBastian Schweinsteiger – Kiungo

 Kundi D – HispaniaDavid De Gea – Kipa

 Kundi E – UbelgijiMarouane Fellaini – Kiungo

 Kundi E – Italia 
Matteo Darmian – Beki

No comments:

Post a Comment