Morais, ambaye alihusishwa na kuhamia Swansea, pia alikuwa na Mourinho Real Madrid na Inter Milan.
Eto'o alichukua majukumu ya ukufunzi mapema Desemba na alishinda mechi zake mbili za kwanza kabla ya kushindwa mechi mbili na kutoka sare mechi moja.
Morais, 50, ametia saini mkataba wa mwaka mmoja unusu kwenye sherehe iliyoongozwa na mwenyekiti wa Antalyaspor Gultekin Gencer, klabu hiyo imesema kupitia taarifa.
Eto’o, mchezaji wa zamani wa Barcelona na Chelsea, ataendelea kukaa katika klabu hiyo ya Uturuki kama mchezaji.
No comments:
Post a Comment