Tuesday, 29 December 2015

NEY WA MITEGO AZUNGUMZIA NAMNA WALIVYO ACHANA NA MPENZI WAKE

Nay wa Mitego amezungumzia jinsi alivyoachana na aliyekuwa mpenzi wake Samsha Ford baada ya mwanadada huyo kudai hataki tena kutoka kimapenzi na mastaa.
Nay wa Mitego na Shamsa Ford Katika Pozi
Nay wa Mitego na Shamsa Ford Katika Pozi
  rapa huyo alisema licha ya kuachana na mwanadada huyo bado ni mshkaji wake na wanapiga stori kama kawaida

No comments:

Post a Comment