Tuesday, 29 December 2015

HAJI MANARA : Haruna Niyonzima NI AINA YA WACHEZAJI NINAO WAPENDA MIMI INGAWA MIMI SIHISIKI NA USAJIRI

 Image result for haji manara
klau ya yanga ilitangaza  kuvunja mkataba na kiungo wake wa kimataifa wa Rwanda aliyekuwa anakipiga katika klabu hiyo Haruna Niyonzima. Mengi yameanza kuandikwa na kuulizwa kama klabu ya Simba inamnyatia staa huyo wa Rwanda?
manara amejibu hivi...........

 Image result for HARUNA NIYONZIMA

 
MANARA amesema, Haruna Niyonzima ukiniuliza mimi hata viongozi wa Simba wanajua kuwa mimi nampenda sana Haruna Niyonzima ila ni mimi Haji Manara, ndio aina ya viungo ninaopenda wawe vile, lazima niseme nampenda lakini mimi sisajilii kazi yangu ni kupewa habari na kuja kuwaambia lakini sijapewa habari za Niyonzima”>>

No comments:

Post a Comment