Wednesday, 30 December 2015

David Moyes azungumziaje kuhusu vav gaal

Image result for david moyes

Meneja wa zamani wa Manchester United David Moyes ameitaka klabu hiyo kumpa muda kocha wa sasa wa kikosi hicho Louis van Gaal.
Kikosi cha Van gaal kimeshindwa kufanya vyema kwa kucheza michezo nane bila ushindi huku wakitolewa kwenye michuano ya Ulaya na kutokuwemo kwenye timu nne za juu katika msima wa ligi ya England.
"Nina imani wataendelea kushirikiana nae , anastahili kupata muda zaidi," alisema meneja huyo wa zamani wa Man United.
Vaan Gal alichukua mikoba ya David Moyes mwaka 2014 baada ya moyes kutimuliwa baada ya klabu hiyo kufanya vibaya katika ligi kuu na michuano ya ulaya .

No comments:

Post a Comment