Jana August 18 2016 Rais Magufuli
alitengua uteuzi wa mkuu wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda na kumteua
Mrisho Gambo kushika wadhifa huo. Leo August 19 Rais Magufuli
amemuapisha Mrisho Gambo kuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha Ikulu jijini Dar es
salaam.

.

Rais Magufuli na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo mara baada ya kumuapisha Ikulu jijini Dar es Salaam.

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo mara baada ya kuapishwa Ikulu jijini Dar es Salaam.

No comments:
Post a Comment