Kumekuwa na mtikisiko katika bei ya mafuta Duniani tangu mwaka 2014 ambapo matokeo yake ni kuongezeka kwa uzalishaji wa mafuta nchini Marekani na kupungua kwa uhitaji nchini China.
Hata hivyo wataalamu wa uchumi wanasema kuwa China umeingia katika uhitaji mdogo wa mafuta kutokana na kudorola kwa ukuaji wa uchumi wa taifa hilo.
Taarifa za kushuka kwa kasighafla kwa bei ya mafuta kimataifa kumesababisha kushuka kwa mauzo ya siku katika masoko makuu matatu ya hisa kwaununuzi kwa Zaidi ya asilimia mbili
No comments:
Post a Comment