Wednesday, 9 December 2015

GIROUD APIGA HAT TRICK NA KUIVUSHA ARSENAL HATUA YA MTOANO LIGI YA MABINGWA

Mshambuliaji wa Arsenal, Olviere Giroud amepiga bao tatu, hat trick na kuiwezeusha Arsenal kuitwanga Olympiacos kwa mabao 3-0.

Ushindi huo umeikahikishia Arsenal ikiwa ugenini kuvuka kwenda hatua ya 16 bora ikitokea kundi F baada ya kufikisha pointi 9 kama Olympiacos lakini iko vizuri kwenye tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa. 

Nyingine iliyovuka kutoka katika kundi hilo ni Bayern Munich ya Ujerumani.
 
 
Olympiacos: 
Roberto, Elabdellaoui, da Costa, Siovas, Masuaku, Kasami, Milivojevic, Seba, Fortounis, Pardo, Ideye.
Subs: Kapino, Botia, Finnbogason, Dominguez, Salino, Hernani, Cambiasso.

Arsenal: 
Cech, Bellerin, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Ramsey, Flamini, Walcott, Ozil, Campbell, Giroud.
Subs: Ospina, Debuchy, Gibbs, Gabriel, Oxlade-Chamberlain, Chambers, Iwobi.
Referee: Nicola Rizzoli (Italy)







No comments:

Post a Comment