Friday, 6 December 2013
KITUO CHA KUTOA USAIDIZI WA KISHERIA KWA WAATHIRIKA WA UKATILI WA KIJINSIA CHA ZINDULIWA
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Kituo cha Kusaidia walioathirika na Ukatili wa kijinsia kituo ambacho kinajulikana kwa jina la One Stop Center kilichojengwa katika hospitali ya Amana kwa ufadhili wa shirika la fhi. Tukio hilo limefanyika siku ya jana Alhamisi mchana. jijini Dar es Salaam
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi akisikiliza maelekezo kutoka kwa watoa huduma wa kituo cha One Stop Centre kitakachokuwa kinatoa msaada wa kisheria na ushauri kwa waathirika wa Ukatili wa Kijinsia
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi (mwenye suti nyeusi) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wadau wa dawati la jinsia kutoka jeshi lapolisi, wizara ya afya na shirika la fhi mara baada ya uzinduzi wa kituo cha kutolea huduma kwa waathirika wa Ukatili wa Kijinsia jana jijini Dar es Salaam.
Labels:
Habari Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
na kifanye kazi kama kilivokusudiwa...zama za ukatili zilikwisha pita
ReplyDelete